tafadhali naomba wadau wanisaidei mimi nina uso wenye mafuta mno, yaani kama kitimoto!will u advice me the good product for my face?
Yaani napata shida sana maana hata poda nikipaka haikai kwa muda imeshayeyuka inabidi niwe najifuta kila saa. Pls nisaidie mwenzenu.
Sunday, April 3, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment