VENUE::KARIMJEE HALL
COLOE::BABY BLUE & WHITE
BURUDANI::RUSHA ROHO & JAHAZI MODERN TAARAB
![]()  | 
| washakji walikuja msaidia mwenzie kuaga ubachela | 
![]()  | 
| nyie si mwanyanyua kidoleee juuu....Mudy alinyanyua mkono juuu Upo Nyonyo?!!! | 
![]()  | 
| hapa kuna MADINI na DINI......tafakariiiiiiii!! | 
![]()  | 
   | 
![]()  | 
| kwa ufupi alipata kila kitu cha ndaniiii....maana hata picha nilichoka kupiga mieee | 
sasamba sasambu mibegi kama twasubiri tren ya kigoma.... mama alidhamiria mwanae asinunue nguo kwa muda wa miazi 6 ....mi nilichokaaa nikasepa mwayaaaa....kuna kavidei nawaandaliaaaa kana kuja....kuweni na subira mambo mazuri hayataki haraka ;)
![]()  | 
| wana wa JAHAZII HAOO wanaeleaaa | 
![]()  | 
| Mc Jamila Kitim tim Mama lao.....timua timua | 
![]()  | 
| NAPENDAGA WAMAMA WAKIVAA HIZI NGUO......hebu nyama zinijae nami nianze tinga....WANANOGA EEE...YANAPATIKANA KWA ROZELLA TAILORING MART....wapendeni mama zenu kama si aunt au dada zenu | 
![]()  | 
| AH WANA WA JAHAZI BIBI WALIPOZI ZULIANI EEEE | 
![]()  | 
| LANGU ROHONIII | 
![]()  | 
| kamati iliwezeshaaa mambo ndo iyoooo ikiongozwa na Tanti Boy... | 
![]()  | 
| back to afrika haikosekaniii | 
NILIKOGUSWAAAA
![]()  | 
| KIKUBAAA SHOST KIKUBAAA WAPITA UKINUKIA....HATA KWAPA LAINA GANI LIPITE HULISIKIIII.....wapiii Aishaaa ;) | 
![]()  | 
| yes......madiiiiniiiii Maaadiniiiiii | 
![]()  | 
| hair do...u name color of the event watu tusukeee ;) | 




























































No comments:
Post a Comment