VENUE::KARIMJEE HALL
COLOE::BABY BLUE & WHITE
BURUDANI::RUSHA ROHO & JAHAZI MODERN TAARAB
![]() |
washakji walikuja msaidia mwenzie kuaga ubachela |
![]() |
nyie si mwanyanyua kidoleee juuu....Mudy alinyanyua mkono juuu Upo Nyonyo?!!! |
![]() |
hapa kuna MADINI na DINI......tafakariiiiiiii!! |
![]() |
![]() |
![]() |
kwa ufupi alipata kila kitu cha ndaniiii....maana hata picha nilichoka kupiga mieee |
sasamba sasambu mibegi kama twasubiri tren ya kigoma.... mama alidhamiria mwanae asinunue nguo kwa muda wa miazi 6 ....mi nilichokaaa nikasepa mwayaaaa....kuna kavidei nawaandaliaaaa kana kuja....kuweni na subira mambo mazuri hayataki haraka ;)
![]() |
wana wa JAHAZII HAOO wanaeleaaa |
![]() |
Mc Jamila Kitim tim Mama lao.....timua timua |
![]() |
NAPENDAGA WAMAMA WAKIVAA HIZI NGUO......hebu nyama zinijae nami nianze tinga....WANANOGA EEE...YANAPATIKANA KWA ROZELLA TAILORING MART....wapendeni mama zenu kama si aunt au dada zenu |
![]() |
AH WANA WA JAHAZI BIBI WALIPOZI ZULIANI EEEE |
![]() |
LANGU ROHONIII |
![]() |
kamati iliwezeshaaa mambo ndo iyoooo ikiongozwa na Tanti Boy... |
![]() |
back to afrika haikosekaniii |
NILIKOGUSWAAAA
![]() |
KIKUBAAA SHOST KIKUBAAA WAPITA UKINUKIA....HATA KWAPA LAINA GANI LIPITE HULISIKIIII.....wapiii Aishaaa ;) |
![]() |
yes......madiiiiniiiii Maaadiniiiiii |
![]() |
hair do...u name color of the event watu tusukeee ;) |
No comments:
Post a Comment